forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
382 B
Markdown
21 lines
382 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Petro anahitimisha kumnukuu nabii Joeli.
|
||
|
|
||
|
# Jua litageuzwa kuwa giza
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kwamba, jua litaonekana kuwa jeusi badala ya kutoa nuru.
|
||
|
|
||
|
# na mwezi kuwa damu
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kwamba, mwezi utaonekana mwekundu kama damu.
|
||
|
|
||
|
# Ya ajabu
|
||
|
|
||
|
"Si ya kawaida" au "muhimu"
|
||
|
|
||
|
# kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka
|
||
|
|
||
|
"Bwana atamwokoa kila mmoja ambaye anamwita"
|
||
|
|