forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
508 B
Markdown
17 lines
508 B
Markdown
|
# Pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu
|
||
|
|
||
|
Petro anamaanisha yeye mwenyewe na yule mwanafunzi mwingine, Yakobo, na Yohana waliposikia ile sauti ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa sisi hatukufuata hadithi zilizoingizwa kwa ustadi
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa sisis mitume hatukufuata hadtibzilizotengenezwa kwa ustadi
|
||
|
|
||
|
# Yetu
|
||
|
|
||
|
waumini wote ikijumuisha sisi mitume
|
||
|
|
||
|
# Pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima matakatifu
|
||
|
|
||
|
Petro anamaanisha wakati ule Yesu alipobadilika sura yake ikang'aa mbele ya Petro, Yakobo na John (Tazama Mathayo)
|
||
|
|