sw_tn/2co/08/08.md

17 lines
624 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# kwa kuupima uhalisi wa upendo wenu kwa kuulinganisha na shauku ya watu wengine
Paulo anawatia moyo Wakorintho kutoa kwa ukarimu wao kwa kuulinganisha na ukarimu wa makanisa ya Makedonia.
# neema ya Bwana wetu
Katika mukutadha huu neno "neema" linasisitiza ukarimu wa Yesu Kristo amewabariki Wakorintho.
# Hata kama alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikuwa maskini
Paulo anamzungumzia Yesu kabkla hajafanyika mwanadamu alivyokuwa tajiri, na kwa kufanyika mwanadamu kama kuwa maskini.
# kupitia umaskini wake mweze kuwa tajiri.
Paulo anazungumzia Wakorintho kuwa matajiri kiroho kama matokeo ya Yesu kuwa mwanadamu.