sw_tn/2co/01/intro.md

38 lines
1.5 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 2 Wakorintho 01 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Kifungu cha kwanza kinaonyesha njia ya kawaida ya kuanzisha barua katika inchi ya kale ya Mashariki ya Karibu.
### Dhana maalum
#### Uadilifu wa Paulo
Watu walikuwa wanamkosoa Paulo na kusema kuwa yeye hakuwa wa dhati. Anawakemea kwa kuelezea nia zake kwa kile alichokifanya.
#### Faraja
Faraja ni neno kuu ya sura hii. Roho Mtakatifu huwafariji Wakristo. Pengine Wakorintho walikuwa wanasumbuliwa na walihitaji kufarijiwa.
### Mifano muhimu za matamshi katika sura hii
#### Swali la uhuishaji
Paulo anatumia maswali mawili ya uhuishaji ili kujitetea dhidi ya madai yasiyokuwa ya kweli. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Sisi
Paulo anatumia neno "sisi". Hii inawezekana kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Inaweza pia kuwajumuisha watu wengine.
#### Dhamana
Paulo anasema kuwa Roho Mtakatifu ni dhamana, ambayo ina maana ya ahadi au malipo ya kwanza, ya maisha ya Milele ya Mkristo. Wakristo wanaokolewa salama. Lakini hawatapata ahadi zote za Mungu mpaka baada ya kufa. Roho Mtakatifu ni dhamana ya kibinafsi kwamba haya yatafanyika. Wazo hili linatoka kwa tamko la biashara. Mtu hutoa kitu cha bei kubwa kwa mtu mwingine kama "dhamana" kwamba watalipa pesa zote baadaye. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
## Links:
* __[2 Corinthians 01:01 Notes](./01.md)__
* __[2 Corinthians intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__