forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
344 B
Markdown
13 lines
344 B
Markdown
|
# Upendo huvumilia na hufadhili....huvumilia mambo yote
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia upendo kama kitu chenye nafsi hai.
|
||
|
|
||
|
# hauoni uchungu haraka,
|
||
|
|
||
|
Hii inaweze kuelezewa katika muundo tendaji kama " hakuna mtu atakayeufanya upendo upate hasira kwa haraka"
|
||
|
|
||
|
# Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli
|
||
|
|
||
|
"hufurahia katika uadilifu na kweli"
|
||
|
|