forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
561 B
Markdown
17 lines
561 B
Markdown
|
# Hukumuni wenyewe
|
||
|
|
||
|
"Hukumuni suala hili kulingana na desturi za ndani na taratibu za kanisa mnazozijua"
|
||
|
|
||
|
# Ni sahihi mwanamke amwombe Mungu hali kichwa chake kikiwa wazi?
|
||
|
|
||
|
Ikielezewa katika muundo tendaji:-"Kwa kumheshimu Mungu, mwanamke lazima amwombe Mungu akiwa amefunika kichwa chake."
|
||
|
|
||
|
# Je hata asili peke yake haiwafundishi...kwake?
|
||
|
|
||
|
Paulo anatarajia Wakorintho wakubaliane naye kuwa " Hali ya asili huwafundisha" kwa maneno mengine " Mnajua hili kwa kutazama watu wanavyofanya kila mara"
|
||
|
|
||
|
# amepewa zile nywele
|
||
|
|
||
|
" Mungu alimuumba mwanamke na nywele"
|
||
|
|