forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
558 B
Markdown
21 lines
558 B
Markdown
|
# usimfunge
|
||
|
|
||
|
Musa alizungumza na wana wa Israeli kama anazungumza na mtu mmoja, hivyo amri hii ipo katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# Ni kweli kwamba hapa Mungu anajali ng'ombe?
|
||
|
|
||
|
"Mnapaswa kujua bila kuambiwa kuwa siyo ng'ombe ambaye Mungu anamjali zaidi."
|
||
|
|
||
|
# Je hasemi hayo kwa ajili yetu?
|
||
|
|
||
|
" Badala yake, Mungu alikuwa anasema kuhusu sisi."
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "yetu" inarejea kwa Paulo na Barnabas.
|
||
|
|
||
|
# ni neno kubwa tukivuna vitu vya mwilini kutoka kwenu?
|
||
|
|
||
|
"Mlipaswa kufahamu kabla hata ya kuwaambia kuwa si jambo kubwa kwetu tukipokea msaada wa vitu kutoka kwenu."
|
||
|
|