forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
380 B
Markdown
17 lines
380 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa "sisi" inajumlisha Paulo na wasikilizaji wake.
|
||
|
|
||
|
# tuliyopewa na Mungu
|
||
|
|
||
|
"Kwamba Mungu alitupatia bure " au "kwamba Mungu ametupa kabisa bila malipo"
|
||
|
|
||
|
# Roho hutafasiri maneno ya kiroho kwa hekima ya kiroho
|
||
|
|
||
|
Roho Mtakatifu huwasiliana kweli wa Mungu kwa waumini katika maneno ya rohoyenyewew na hutupa yenyewe hekima yake yenyewe.
|
||
|
|
||
|
# hutafasiri
|
||
|
|
||
|
"fafanua"
|
||
|
|