forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
785 B
Markdown
24 lines
785 B
Markdown
|
# Nimeirudia Yerusalemu kwa rehema nyingi
|
||
|
|
||
|
Kurudi Yerusalemu inamaanisha kuchukua tena jukumu la kuwaudumia watu wa Israeli kama mfalme kurudi kuwaongoza watu kutoka katika shida.
|
||
|
|
||
|
# Nyumba yangu itajengwa ndani yake
|
||
|
|
||
|
"Hii inamaanisha kujengwa tena kwa hekalu katika Yerusalem"
|
||
|
|
||
|
# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe." Na kifungu hiki kimetumika mara kwa mara katika kitabu hiki.
|
||
|
|
||
|
# Kipimo kitanyoshwa juu ya Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
"Yerusalemu itakaguliwa kabla ya kujengwa"
|
||
|
|
||
|
# Miji yangu kwa mara nyingine itajawa na uzuri
|
||
|
|
||
|
Yahwe anamaanisha mambo mema atakayoyafanya kwa ajili ya watu wake Israeli kama ambavyo kimiminika kinavyoweza kujaa katika miji na kufurika.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe ataifariji tena Sayuni
|
||
|
|
||
|
"Yahwe atawatia moyo watu wa Israeli"
|