forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
478 B
Markdown
28 lines
478 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anafunga barua akimwambia Tito cha kufanya baada ya kuchagua viongozi katika Krete na kwa kumpa salamu kutoka kwa wale aliokuwa pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# Nitakapo mtuma
|
||
|
|
||
|
"Baada ya kumtuma"
|
||
|
|
||
|
# Artemi...Tikiko...Zena
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# harakisha na uje
|
||
|
|
||
|
"fanya haraka na uje" au "njoo haraka"
|
||
|
|
||
|
# kukaa kipindi cha baridi
|
||
|
|
||
|
"kukaa wakati wa majira ya baridi"
|
||
|
|
||
|
# Harakisha na umtume
|
||
|
|
||
|
"Harakisha" au "Usichelewe kutuma"
|
||
|
|
||
|
# na Apolo
|
||
|
|
||
|
"na pia umtume Apolo"
|