forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
847 B
Markdown
28 lines
847 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea kumpa Tito maelekezo juu ya namna ya kufundisha wazee na watu chini ya uangalizi wake huko Krete.
|
||
|
|
||
|
# Uwakumbushe
|
||
|
|
||
|
"Kuwaambia watu wetu tena kile ambacho tayari wanakijua" au "Kuendelea kuwakumbusha"
|
||
|
|
||
|
# nyenyekea kwa viongozi na mamlaka, kuwatii
|
||
|
|
||
|
"fanyeni kama watawala wa kisiasa na wenye mamlaka ya kiserikali wasemavyo kwa kuwatii"
|
||
|
|
||
|
# watawala na wenye mamlaka
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana zinazofanana na yametumika pamoja kumuhusisha kila mmoja ambaye anashikilia mamlaka katika serikari.
|
||
|
|
||
|
# muwe tayari kwa kila kazi njema
|
||
|
|
||
|
"muwe rayari kufanya mema wakati wote palipo na fursa"
|
||
|
|
||
|
# ubaya
|
||
|
|
||
|
"ongea mabaya juu ya"
|
||
|
|
||
|
# waache watu wengine waenende katika njia zao
|
||
|
|
||
|
Paulo anawasihi waumini kufanya mambo kama vile watu wengine wanavyopendelea kufanya, ilimradi tu matakwa yao na matendo yao yasiwe ya dhambi. "
|