forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
717 B
Markdown
28 lines
717 B
Markdown
|
# Mmoja wao
|
||
|
|
||
|
"Mmoja wa Wakrete" au mtu fulani kutoka kwa watu wa Krete
|
||
|
|
||
|
# Mtu busara
|
||
|
|
||
|
Maana zinazokubalika ni 1) nabii au 2) "mshairi au mwana falsafa au 3) mwalimu
|
||
|
|
||
|
# Wakrete wana uongo usio na mwisho
|
||
|
|
||
|
"Wakrete hudanganya kila wakati" Maneno haya yametiwa chumvi kuonesha tabia wa Wakrete ya kudanganya.
|
||
|
|
||
|
# wabaya na mnyama wa hatari
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unawalinganish Wakrete na hayawani au wanyama hatari.
|
||
|
|
||
|
# Wavivu na walafi
|
||
|
|
||
|
Ni msemo unaoonesha watu wasiopenda kufanya kazi yoyote lakini wanakula sana.
|
||
|
|
||
|
# kuwazuia kwa nguvu ( kuwarekebisha)
|
||
|
|
||
|
kwa hiyo waambie kwa ujasiri kwamba hawako sahihi (wamekosea)"
|
||
|
|
||
|
# Kwamba wanaweza kuwa katika imani ya kweli
|
||
|
|
||
|
"Watakuwa na imani imara" au " kwamba imani yao itakuwa ya kweli"
|