forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
713 B
Markdown
32 lines
713 B
Markdown
|
# Nasi tu...
|
||
|
|
||
|
Paulo anajumlisha wasomaji wake na waamini wengine pamoja na yeye mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Kama katika siku
|
||
|
|
||
|
"Katika hali ya kuonekana" au tukijua kuwa kila mtu anaweza kutuona"
|
||
|
|
||
|
# Ugomvi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha njama dhidi ya na mabishano na watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# Wivu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha hisia hasi ya mtu dhidi ya mafanikio ya mtu mwingine au faida juu ya mtu mwingine
|
||
|
|
||
|
# Mvae Bwana Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kukubali asili mema ya Kristo kana kwamba ni vazi letu la juu ambalo watu wanaweza kuona.
|
||
|
|
||
|
# Vaa
|
||
|
|
||
|
Kama lugha yako ina usemi wa wingi wa maagizo, unaweza kutumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# Usitoe mwanya kwa mwili
|
||
|
|
||
|
"Usiupe nafasi yoyote moyo wako wa zamani kufanya mambo mabaya"
|
||
|
|
||
|
# Mwili
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha asili ya dhambi ya mtu.
|