forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
361 B
Markdown
16 lines
361 B
Markdown
|
# Usiku umeendelea sana
|
||
|
|
||
|
" Wakati uliopo wa dhambi umekaribia kumalizika"
|
||
|
|
||
|
# Siku imekaribia
|
||
|
|
||
|
"Kristo atarudi upesi"
|
||
|
|
||
|
# Matendo ya giza
|
||
|
|
||
|
Haya ni matendo maovu ambayo watu wanpendelea kuyafanya usiku, wakati hakuna mtu anaye weza kuwaona.
|
||
|
|
||
|
# Tuvae silaha za nuru
|
||
|
|
||
|
" Inatupasa kumruhusu Mungu kutulinda kwa kufanya tu yale ambayo tunataka watu waone tunayafanya"
|