forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
409 B
Markdown
16 lines
409 B
Markdown
|
# Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu atamuachia Shetani kutoka katika gereza lake"
|
||
|
|
||
|
# kona nne za dunia
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha inayomaanisha "duniani kote"
|
||
|
|
||
|
# Gogu na Magogu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ambayo nabii Hezekia alitumia kuwakilisha mataifa ya mbali.
|
||
|
|
||
|
# Watakuwa wengi kama mchanga wa bahari
|
||
|
|
||
|
Huu ni msisitizo wa namba kubwa sana la askari wa jeshi la Shetani.
|