forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
969 B
Markdown
28 lines
969 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hapa ni uhamisho kwenda katika hali ya mtu wa pili. Hii inaweza kumaanisha 1) mwandishi anaanza kuzungumza na wtu wa Israeli au 2) mwandishi anamnukuu mtu mwingine akizungumza na mwandishi.
|
||
|
|
||
|
# mguu wako kuteleza
|
||
|
|
||
|
Kuteleza kwa mguu kunahusishwa na kuanguka. "wewe kuanguka"
|
||
|
|
||
|
# yeye anayekulinda ... mlinzi
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwli inamaana kitu kimoja, na inasisitiza nafasi ya Mungu kama mlinzi.
|
||
|
|
||
|
# yeye anayekulinda hatalala
|
||
|
|
||
|
Hapa "kulala" inamaanisha kuacha kulinda. Hali yake hasi inaimarisha msemo. "Mungu hatalala na kuacha kuwalinda" au " Mungu atawalinda daima"
|
||
|
|
||
|
# hatalala ... huwa halali wala kusinzia
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwli inamaana sawa. Msemo wa pili unaimarisha wazo la kwanza.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatufanya kuzingatia kwa makini taarifa zinazofuata.
|
||
|
|
||
|
# huwa halali wala kusinzia
|
||
|
|
||
|
Mananeo haya mawili yana maana sawa. Hapa "kulala" inamaana kuacha kulinda. Hali yake hasi inaimarisha msemo. "hatalala na kuacha kuwalinda" au "atawalinda daima"
|