forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
762 B
Markdown
24 lines
762 B
Markdown
|
# Ingawa wananilaani
|
||
|
|
||
|
Wanaozungumziwa ni watu wanaomshtaki Daudi na kusema vitu vibaya kumhusu.
|
||
|
|
||
|
# na waaibishwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na waaibike" au "acha waaibike"
|
||
|
|
||
|
# lakini watumishi wako wafurahi
|
||
|
|
||
|
"lakini mimi, mtumishi wako, nifurahi" au "mimi ni mtumishi wako, acha nifurahi." Daudi anatumia msemo "mtumishi wako" kumaanisha ni yeye.
|
||
|
|
||
|
# Na washindani wangu wavikwe ... na wavae
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana ya kufanana na inatumika kusisitiza jinsi anavyotamani sana waaibishwe.
|
||
|
|
||
|
# wavikwe aibu
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anawazungumzia kuaibika kana kwamba ilikuwa vazi walilovaa. "waaibike sana"
|
||
|
|
||
|
# na wavae aibu yao kama joho
|
||
|
|
||
|
Daudi anawazungumzia kuaibika kana kwamba ilikuwa joho walilovaa. "na aibu yao iwafunike kama joho walilojifunika"
|