forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
433 B
Markdown
24 lines
433 B
Markdown
|
# mtu mwenye haki ameachwa
|
||
|
|
||
|
"Yahwe amwacha mtu mwenye haki"
|
||
|
|
||
|
# mtu mwenye
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla.
|
||
|
|
||
|
# wakiomba mkate
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkate" inwakilisha chakula kwa ujumla. "kuomba chakula"
|
||
|
|
||
|
# Siku nzima
|
||
|
|
||
|
Lahaja hii inamaanisha tendo hili ni tabia ya maisha yake.
|
||
|
|
||
|
# watoto wake wanakuwa baraka
|
||
|
|
||
|
"watoto wanakuwa kuwabariki wengine"
|
||
|
|
||
|
# Geuka
|
||
|
|
||
|
Kuacha kufanya kitu inazungumziwa kana kwamba mtu ankigeuka. "Acha kufanya"
|