forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
828 B
Markdown
28 lines
828 B
Markdown
|
# Usiufiche uso wako kwangu
|
||
|
|
||
|
Uso unawakilisha usikivu wa Yahwe. Msemo "Usiufiche uso wako" ni njia kumwomba Mungu asimkatae. "Usinikatae" au "Usiache kunitunza"
|
||
|
|
||
|
# usimgeuza mtumishi wako kwa hasira
|
||
|
|
||
|
Daudi alisema "mtumishi wako" kumaanisha ni yeye mwenywe kwa njia ya unyenyekevu. "usinikasirikie"
|
||
|
|
||
|
# usiniache wala kunitupa
|
||
|
|
||
|
Maneno "kuacha" na "kutupa" yana maana sawa. Mwandishi anasisitiza kuwa hataki Mungu amuache.
|
||
|
|
||
|
# wala kunitupa
|
||
|
|
||
|
"na usinitupe" au "na usiniache"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa wokovu wangu
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama "okoa." "Mungu anayeniokoa" au "kwa kuwa wewe ni Mungu unayeniokoa"
|
||
|
|
||
|
# Hata kama baba na mama yangu wakiniacha
|
||
|
|
||
|
Hasemi kuwa kweli wamefanya hivi au kwamba watafanya hivi. Wazo lake ni kwamba hata kama wangefanya hivyo, Mungu asingemuacha.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atanichukua
|
||
|
|
||
|
"Yahwe atanitunza"
|