forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1013 B
Markdown
32 lines
1013 B
Markdown
|
# Muweke mtumishi wako pia mbali na
|
||
|
|
||
|
Lahaja hii inaonesha mtumishi kama ametolewa kwenye dhambi ambazo hataki kutenda. "Pia, mlinde mtumishi wako kutokufanya" au "Pia, hakikisha sifanya"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Daudi anajiita "mtumishi wako" anapozungumza na Mungu kama ishara ya heshima. "mimi"
|
||
|
|
||
|
# usiziache zinitawale
|
||
|
|
||
|
Dhambi zinaelezwa kana kwamba ni mfalme anayeweza kutawala juu ya mtu. "usiache dhambi zangu ziwe kama mfalme anayetawala juu yangu"
|
||
|
|
||
|
# sina hatia na makosa mengi
|
||
|
|
||
|
"sina hatia ya kuasi dhidi yako" au "sina hatia ya kutenda dhambi nyingi"
|
||
|
|
||
|
# maneno ya mdomo wangu na mawazo ya moyo wangu
|
||
|
|
||
|
Misemo hii pamoja inaeleza kile ambacho mtu anasema na kuwaza. "vitu ninavyosema na vitu ninavyowaza"
|
||
|
|
||
|
# yakubalike machoni pako
|
||
|
|
||
|
"yapokee kukubaliwa machoni pako" au "yakupendeze wewe"
|
||
|
|
||
|
# machoni pako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Mungu mwenyewe. "kwako"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe, mwamba wangu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba ambao mtu anaweza kupanda kujilinda dhidi ya adui zake. "Yahwe, wewe ni kama mwamba wangu"
|