forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
361 B
Markdown
20 lines
361 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# weka kisu kooni mwako
|
||
|
|
||
|
1) "uwe mwangalifu usile sana" au 2) "usile kitu chochote kabisa"
|
||
|
|
||
|
# usitamani
|
||
|
|
||
|
"usishikwe na hamu sana kupitiliza" angalia 21:9
|
||
|
|
||
|
# vyakula vizuri
|
||
|
|
||
|
"chakula maalumu na vya gharama"
|
||
|
|
||
|
# ni vyakula vya hila
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau "anakupa chakula ili aweze kukudanganya"
|