forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
464 B
Markdown
24 lines
464 B
Markdown
|
# moyo wa mtu mwenye busara hutoa
|
||
|
|
||
|
"mawazo ya mtu mwenye busara hutoa"
|
||
|
|
||
|
# hutoa utambuzi kwenye kinywa chake
|
||
|
|
||
|
"hufanya kauli yake kuwa ya busara"
|
||
|
|
||
|
# kwenye midomo yake
|
||
|
|
||
|
"yale anayosema"
|
||
|
|
||
|
# maneno yakupendeza ni sega la asali
|
||
|
|
||
|
"maneno ya kupendeza ni kama sega la asali"
|
||
|
|
||
|
# matamu kwenye nafsi
|
||
|
|
||
|
1) inawakilisha hamu na shauku ndani ya mtu "tamu kiasi kiasi cha kutosha kumfanya mtu afurahi" au 2) "tamu kwa radha"
|
||
|
|
||
|
# uponyaji kwenye mifupa
|
||
|
|
||
|
"uponyaji katika mwili"
|