forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
510 B
Markdown
20 lines
510 B
Markdown
|
# Mipango ya moyo huwa ni ya mtu
|
||
|
|
||
|
"mtu hufanya mipango katika akili zake"
|
||
|
|
||
|
# kwa Yahwe huja jibu kutoka katika ulimi wake
|
||
|
|
||
|
1) Yahwe hunena jibu lake katika mipango ya mtu -maana yake Yahwe hutambua matokeo ya mipango ya mtu au 2) Yahwe huwezesha mtu kunena juu ya mipango aliyoiandaa.
|
||
|
|
||
|
# jibu kutoka katika ulimi wake
|
||
|
|
||
|
"jibu ambalo hunena"
|
||
|
|
||
|
# Njia zote za mtu ni safi machono pake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
mtu hudhani kwamba kila kitu anachofanya ni safi"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe huipima mioyo
|
||
|
|
||
|
"Yahwe hufanya uamuzi kwenye mawazo ya mtu"
|