forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
743 B
Markdown
24 lines
743 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia kuhusu waamini wa Filipi wamekuwa wakimsaidia kifedha na kumalizia na salam na shukran.
|
||
|
|
||
|
# kuridhika
|
||
|
|
||
|
"kutosheka" au "kufurahi"
|
||
|
|
||
|
# katika mazingira yote
|
||
|
|
||
|
"haijalishi mazingira niliyo nayo"
|
||
|
|
||
|
# Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa...kuwa na vingi
|
||
|
|
||
|
Paulo anajua jinsi ya kuishi maisha ya furaha aidha akiwa hana au akiwa navyo.
|
||
|
|
||
|
# namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhitaji
|
||
|
|
||
|
Ki-msingi sentensi hizi mbili zinamaanisha kitu kile kile. Paulo huzitumia kusisitiza kuwa amejifunza kurithika katika mazingira ya namna yeyote ile.
|
||
|
|
||
|
# Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na yeye anitiaye nguvu.
|
||
|
|
||
|
"Naweza kufanya mambo yote kwa sababu Kristo hunipa nguvu"
|