forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
560 B
Markdown
16 lines
560 B
Markdown
|
# Ndugu yako Israeli
|
||
|
|
||
|
Musa anatumia Kiraihiki ili kusisitiza kuwa Waisraeli na Waedomu walikuwa na uhusiano kwa sababu mababu zao Yakobo na Esau walikuwa ndugu.
|
||
|
|
||
|
# Tulipomlilia BWANA
|
||
|
|
||
|
"Tulipomwomba BWANA atusaidie"
|
||
|
|
||
|
# akatusikia sauti zetu
|
||
|
|
||
|
Neno "sauti" linawakilisha kilio au kile ambacho watu walimwambia. "alisikia kilio chetu" au "alitusikia kile tulichomwomba"
|
||
|
|
||
|
# Tazam
|
||
|
|
||
|
Neno "Tazama" hapa linamaanisha kubadilisha mada. Walikuwa wanaongelea mambo yao ya nyuma na sasa wanaongelea mambo yao ya sasa ili wakati wanajiandaa kumwomba mfalme ili afanye kitu.
|