sw_tn/num/14/28.md

16 lines
280 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# kama vile mlivyosema katika masikio yangu
"kama nilivyowasikia mkisema"
# Maiti zenu zitaanguka
"mtakufa"
# ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa
"Ninyi ambao Musa aliwahesabu kwenye ile sensa"
# kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea
"umri wa miaka ishirini na zaidi"