forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
312 B
Markdown
12 lines
312 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu ya yote haya
|
||
|
|
||
|
kwa sababu watu hawakuitii na Bwana alikuwa amewaadhibu
|
||
|
|
||
|
# Kwenye hati iliyofungwa ni majina
|
||
|
|
||
|
Msomaji anapaswa kuelewa kwamba wanaume waliandika majina yao kwenye hati kabla ya kufungwa
|