forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
384 B
Markdown
24 lines
384 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Uliwapa falme
|
||
|
|
||
|
Bwana akawapa Waisraeli falme .
|
||
|
|
||
|
# Uliwapa falme na watu
|
||
|
|
||
|
"aliwawezesha kushinda falme na watu"
|
||
|
|
||
|
# ukawapa kila kona ya nchi
|
||
|
|
||
|
"kuwawezesha kumiliki kila sehemu ya ardhi"
|
||
|
|
||
|
# Sihoni .....Ogu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wafalme.
|
||
|
|
||
|
# Heshboni....Bashani
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya maeneo.
|