forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
504 B
Markdown
20 lines
504 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Baada ya Yesu kutuliza dhoruba kubwa, anamponywa mtu aliyekuwa na mapepo mengi, lakini wenyeji wa Gerasi hawakufurahi kwa uponyaji wake, na walimuomba Yesu aondoke.
|
||
|
|
||
|
# Walikuja
|
||
|
|
||
|
Neno "Wali" urejea kwa Yesu na wanafunzi wake.
|
||
|
|
||
|
# bahari
|
||
|
|
||
|
Hii urejea kwa Bahari ya Galilaya
|
||
|
|
||
|
# Gerasenes
|
||
|
|
||
|
Hili jina urejea kwa watu wanaoishi Gerasi.
|
||
|
|
||
|
# akiwa na roho chafu
|
||
|
|
||
|
Hii lugha inayomaanisha kwamba mtu "ametawaliwa" au "kumilikiwa" na roho chafu. "kutawalia na roho chafu" au roho chafu kumiliki"
|