Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 4:12, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Mifano ni hadithi fupi ambayo Yesu aliwaambia ili watu waweze kuelewa kwa urahisi somo alilojaribu kuwafundisha. Pia aliwaambia hadithi ili wale ambao hawakutaka kumwamini wakose kuelewa kweli.