forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
575 B
Markdown
20 lines
575 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anachukua muda kuomba katikati ya wakati wake wa kuponya watu. Badae anaenda mjini kupitia Galilaya kuhubiri, kuponya na kutoa mapepo.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "yeye" na "yeye" urejea kwa Yesu
|
||
|
|
||
|
# Mahali pa faragha
|
||
|
|
||
|
"mahali ambapo anaweza kuwa peke yake"
|
||
|
|
||
|
# Simoni na wale walikuwa naye
|
||
|
|
||
|
Hapa "yeye" urejee kwa Simoni. Pia, wale waliokuwa pamoja naye akiwemo Andrea, Yakobo, Yohana, na inawezekana watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# Kila mmoja anakutafuta wewe
|
||
|
|
||
|
Neno "kila mmoja" linafafanua namna watu wengi waliomtafuta Yesu. "Watu wengi wanakutafuta wewe"
|