forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
667 B
Markdown
24 lines
667 B
Markdown
|
# wale wanawake
|
||
|
|
||
|
"Mariamu Magadalena na yule Mariamu mwingine"
|
||
|
|
||
|
# aliyesulibiwa
|
||
|
|
||
|
"yule ambaye watu na maaskari walimsulibisha" au "yula ambaye walimsulibisha"
|
||
|
|
||
|
# amefufuka toka wafu
|
||
|
|
||
|
kirai cha "toka wafu" kinamaanisha eneo ambalo roho za wale waliokufa huenda. 'Lakini amefufuka"
|
||
|
|
||
|
# mkawaambie wanfunzi wake, 'amefufuka toka wafu. Tazama amewatangulia Galilaya ambako mtamkuta"
|
||
|
|
||
|
waambieni wanafunzi wake kuwa amefufuka wafu na kwamba Yesu amewatangulia kwenda Galilaya ambako mtamwona"
|
||
|
|
||
|
# amewatangulia ... mtamwona
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi cha "mta" ni cha wingi. kinamaanisha wale wanawake na wanafunzi
|
||
|
|
||
|
# nimewaambia
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "wa" ni cha wingi. kinamaanisha wale wanawake
|