forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
399 B
Markdown
12 lines
399 B
Markdown
|
# walinzi
|
||
|
|
||
|
kwa Warumi Ilimaanisha maaskari wanne hadi kumi na sita
|
||
|
|
||
|
# jiwe liligongwa muhuri
|
||
|
|
||
|
Inaweza kumaanisha 1) waliweka kamba karibu na jiwe na kuliunganishana kuta za lile jiwe katika pande zote za lango la kaburi au 2) waliweka mihuri katkati ya jiwe na kuta
|
||
|
|
||
|
# na kuweka walinzi
|
||
|
|
||
|
"kuwaambia walinzi wasimame mahali ambapo wataweza kuwazuia watu ambao watadirika kufanya chochote kaburini.
|