forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
910 B
Markdown
32 lines
910 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanza na habari ya Yesu akiwaponya vipofu wawili
|
||
|
|
||
|
# Wakati wakitoka
|
||
|
|
||
|
Hii inaongelea wanafunzi na Yesu
|
||
|
|
||
|
# ulimfuata
|
||
|
|
||
|
"ulimfuata Yesu"
|
||
|
|
||
|
# vipofu wawili wameketi
|
||
|
|
||
|
Wakati mwingine jambo hili limetafsiriwa kama "Tazama kulikuwa na wanaume wawili weameketi." Mwandishi anatambulisha watu wawili kwenye hii habari. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya jambo hili.
|
||
|
|
||
|
# waliposikia
|
||
|
|
||
|
"wale vipofu wawili waliposikia"
|
||
|
|
||
|
# na waliona
|
||
|
|
||
|
wakati mwingine hutafsiriwa , "Tazama" Mwandishi anamwambia msomaji kuwa makini kwa maelezo ya kushangaza yanayofuata. Lugha yako inaweza ikawa na njia fulani ya kufanya hivi.
|
||
|
|
||
|
# Alikuwa akipita
|
||
|
|
||
|
Alikuwa akitembea kati yao
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Daudi
|
||
|
|
||
|
Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, Kwa hiyoinaweza kutafsiriwa kama "kizazi cha mfalme wa Daudi." Hata hivyo "mwana wa Daudi " ni cheo cha Masihi, na huenda wale wanaume walikuwa wakimwita Yesu kwa cheo hiki.
|