# Sentensi unganishi Hii inaanza na habari ya Yesu akiwaponya vipofu wawili # Wakati wakitoka Hii inaongelea wanafunzi na Yesu # ulimfuata "ulimfuata Yesu" # vipofu wawili wameketi Wakati mwingine jambo hili limetafsiriwa kama "Tazama kulikuwa na wanaume wawili weameketi." Mwandishi anatambulisha watu wawili kwenye hii habari. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya jambo hili. # waliposikia "wale vipofu wawili waliposikia" # na waliona wakati mwingine hutafsiriwa , "Tazama" Mwandishi anamwambia msomaji kuwa makini kwa maelezo ya kushangaza yanayofuata. Lugha yako inaweza ikawa na njia fulani ya kufanya hivi. # Alikuwa akipita Alikuwa akitembea kati yao # Mwana wa Daudi Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, Kwa hiyoinaweza kutafsiriwa kama "kizazi cha mfalme wa Daudi." Hata hivyo "mwana wa Daudi " ni cheo cha Masihi, na huenda wale wanaume walikuwa wakimwita Yesu kwa cheo hiki.