forked from WA-Catalog/sw_tn
52 lines
1.1 KiB
Markdown
52 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anamalizia kufundisha juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine
|
||
|
|
||
|
# aliwaita
|
||
|
|
||
|
"aliwaita wale thenashara"
|
||
|
|
||
|
# watawala wa wa mataifa huwatiisha,
|
||
|
|
||
|
watawala wa mataifa hulazimisha watu wa mataifa kufanya kile watawala wanataka.
|
||
|
|
||
|
# watawala wa mataifa
|
||
|
|
||
|
"watawala wa watu wa mataifa"
|
||
|
|
||
|
# huwatiisha
|
||
|
|
||
|
"huwatawalawatu"
|
||
|
|
||
|
# yeyote atakayetaka
|
||
|
|
||
|
"yeyote atakaye" au "yeyote atamaniye"
|
||
|
|
||
|
# kuwa wa kwanza
|
||
|
|
||
|
"kuwa wa muhimu"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu ... maisha yake
|
||
|
|
||
|
Yesu anaonge juu yake mwenyewe kwa kutumia nafsi ya tatu. kama inawezekana unaweza kuitafsiri hii katika nafsi ya kwanza.
|
||
|
|
||
|
# hakuja kutumikiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hakuja ili kwamba watu wengine wamtumikie" au "sikuja ili kwamba watu wengine wanitumikie"
|
||
|
|
||
|
# bali kutumika
|
||
|
|
||
|
"bali kuwatumikia watu wengiine"
|
||
|
|
||
|
# na kutoa uhai wake
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "kufa"
|
||
|
|
||
|
# kuwa ukombozi kwa wengi
|
||
|
|
||
|
Neno "ukombozi" htumika kwa maana ya kuwafanya wengine kuwa huru kutoka gerezani au utumwani. Hii ni sitiari ya Yesu kuwaokoa watu kutoka kwenye hukumu ya adhbu ya Mungu kwa ajili y a dhanbi zao
|
||
|
|
||
|
# kwa wengi
|
||
|
|
||
|
"kwa ajili ya watu wengi"
|