forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
736 B
Markdown
24 lines
736 B
Markdown
|
# kweli nawaambia
|
||
|
|
||
|
msisistizo wa kile kinachofuatia
|
||
|
|
||
|
# kaika uzao mpya
|
||
|
|
||
|
"wakatimpya" inamaanisha wakatiMungu akirudisha kila ktu" au "wakati ule ambao Mungu atafanya kila kitu kuwa kipya.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Yesuanaonge juuyake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
# atakapoketikatika kiti cha enzi
|
||
|
|
||
|
Kukaa katika enzi kunamaanisha kutawala kama mfalme. enzi yake kuwa tukufu minawakilisha "utawala wake kuwa wa utukufu" au "kutawala kwa utukufu kama mfalme"
|
||
|
|
||
|
# mtaketi juu ya viti kumi na viwili vya enzi
|
||
|
|
||
|
Hapa "enzi" inamaanisha kutawala kama mfalme. Wanafunzi hawatakuwa sawa na Yesu ambaye pia yuko kwenye enzi.. Watapokeamamlaka kutoka kwake."kukaa kama kwenye enzi 12"
|
||
|
|
||
|
# makabila kumi na mawili ya Israel
|
||
|
|
||
|
Hapa "makabila" inamaanisha wtu kutoka kabila hizo
|