sw_tn/mat/18/intro.md

16 lines
589 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Mathayo18 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Je, unapaswa kufanya nini "ndugu yako akikukosea"?
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Katika sura hii, Yesu anafundisha kwamba ni muhimu kwa wafuasi wake kuacha ugomvi kati yao wenyewe. Anafundisha kwamba kikundi cha waumini lazima kiwe tayari kuwezesha hii kufanyika kwa njia "inayomheshimu Mungu.
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Kanisa lina jukuma pia wa kuwahimiza waumini kutubu ikiwa wanafanya dhambi. (Angalia: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]] na [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
2021-09-10 19:21:44 +00:00
2021-09-10 19:12:24 +00:00
* __[Matthew 18:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../17/intro.md) | [>>](../19/intro.md)__