forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
914 B
Markdown
40 lines
914 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendela kutumia watoto wadogo kuwafundisha wanafunzi wake na kuwaonya dhidi ya madhara makubwa ya kuwaangusha watoto
|
||
|
|
||
|
# kwa dunia
|
||
|
|
||
|
dunia inamaanisha watu
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya wakati wa kukwazwa
|
||
|
|
||
|
kwa sababu ya mambo yanyowafanya watu kukwazwa
|
||
|
|
||
|
# Mkono wako
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea na wanafunzi wake kama ni mtu mmoja.
|
||
|
|
||
|
# kwa nyakati hizo huja
|
||
|
|
||
|
kwamba mambo hayo huja yanayowafanya watu kufanya dhambi
|
||
|
|
||
|
# kwake kwa mtu yule nyakati hizo
|
||
|
|
||
|
mtu yeyote anayewafnya wengine kufanya dhambi
|
||
|
|
||
|
# kama mkon wako ... utupe mbali
|
||
|
|
||
|
Yesu anamaanisha kuwa mtu lazima afanye kila linalolazimika ili kukitoa katika maisha kile kinachomfanya mtu kufanya dhambi
|
||
|
|
||
|
# wako ... uki
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea kwa watu wote kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
# kwenye uzima
|
||
|
|
||
|
uzima wa milele
|
||
|
|
||
|
# kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote aua miguu yote
|
||
|
|
||
|
kuliko kuwa na mikono miwil na miguu miwili wakati Mungu anakutupa kwenye moto wa milele.
|