forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
566 B
Markdown
24 lines
566 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatutayarisha kuwa tayari kwa taarifa za kushangaza zinazofuata.
|
||
|
|
||
|
# kwao
|
||
|
|
||
|
kwa wanafunzi waliokuwa na Yesu amabao ni Petro, Yakobo na Yohana
|
||
|
|
||
|
# akajibu na kusema
|
||
|
|
||
|
"sema." Petro hajibu swali.
|
||
|
|
||
|
# pamoja naye
|
||
|
|
||
|
"pamoja na Yesu"
|
||
|
|
||
|
# ni vizuri kwetu kuwa hapa
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana: 1)"ni vizuri kwamba sisi wanafunzi tuko hapa pamoja nawe, Musa, na Eliya au 2)"ni vizuri kuwa wewe, Musa, Eliya, na sisi wanafunzi wote tuko hapa pamoja"
|
||
|
|
||
|
# mahala pa kujihifadhi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana: 1)mahali pa watu kuja kuabudia au 2)mahali pa muda pa watu kulala.
|