sw_tn/mat/14/34.md

32 lines
571 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Mistari hii inaeelza kile kilichotokea baada ya Yesu kutembea juu ya maji. Mistari hii inatoa muhtasari wa jinsi watu walivyokuwa wakiitikia kwenye huduma ya Yesu
# Na walipokwisha kuvuka
Wakati Yesu na wanafunzi walipokuwa wamevuka bahari
# Genesareti
Huu ni mji mdogo ulioko Kaskazini Magharibi mwa mji wa bahari ya Galilaya
# walituma ujumbe
"wanaume wa eneohilo waltuma ujumbe
# walmsihi
waagonjwa walimsihi
# Pindo la vazi lake
"chini yavazi" au "ncha ya vazi"
# vazi
"joho" au "kile alichokuwa amevaa"
# waliponywa
wakawa salama