forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
618 B
Markdown
24 lines
618 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha simulizi ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi baada ya kufa.
|
||
|
|
||
|
# mambo hayo
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea jibu la Yesu alilowapa wanafunzi wa yohana kuhusu kufunga.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linatupa dokezo la mtu mwingine mpya katika hadithi. Lugha yako inawezekana ikawa na njia nyingine ya kufanya hivi.
|
||
|
|
||
|
# akasujudu kwake
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia mtu yeyote kuonyesha heshima katika utamaduni wa kiyahudi.
|
||
|
|
||
|
# njoo na uweke mkono wako juu yake, na yeye ataishi tena
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kwamba ofisa wa kiyahudi aliamini Yesu ana nguvu ya kurudisha uhai wa binti yake.
|
||
|
|
||
|
# wanafunzi wake
|
||
|
|
||
|
wanafunzi wa Yesu
|