forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
833 B
Markdown
32 lines
833 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yesu ansema na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao katika maisha binafsi.viwakilishi vya "mwenu" na "yake" vimo katika wingi.
|
||
|
|
||
|
# Na nani mmoja miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza siku za kuishi?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kufundisha watu. Anamaanisha hakuna atakayeishi maisha marefu kwa kuwa na hofu.
|
||
|
|
||
|
# inchi moja
|
||
|
|
||
|
"inchi" ni pungufu ya mita. Hapa ni msemo wa kuongeza kiasi cha miaka mingapi ya kuishi mtu.
|
||
|
|
||
|
# Na kwa nini mna kuwa na hofu kuhusu mavazi?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kufundisha watu. AT:"Usiwe na hofu kuhusu nini utavaa."
|
||
|
|
||
|
# Fikiria kuhusu
|
||
|
|
||
|
'Zingatia"
|
||
|
|
||
|
# maua
|
||
|
|
||
|
aina ya maua ya porini
|
||
|
|
||
|
# Ninakuambia wewe
|
||
|
|
||
|
Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu ataongea baadae
|
||
|
|
||
|
# hakuwahi kuvikwa kwa namna hii
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"hakuvaa nguo nzuri kama haya maua."
|