forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
666 B
Markdown
28 lines
666 B
Markdown
|
# Maelezo kwauumla
|
||
|
|
||
|
Hapa viwakilishi vya "ku" na "yako" vyote viko katika wingi
|
||
|
|
||
|
# Ninakuambia wewe
|
||
|
|
||
|
Hii inaongeza msisitizo kwa kile atakachosema Yesu baadaye
|
||
|
|
||
|
# kwako
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea kwa kikundi cha watu kuhusu kitakachotokea kwao kwa mtu binafsi. Anapotumia "kwako" na "wako" yote ni wingi.
|
||
|
|
||
|
# maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kufundisha watu. "uhakika maisha ni zaidi ya kile unachokula, na mwili wako ni zaidi ya kile unachovaa."
|
||
|
|
||
|
# ghala
|
||
|
|
||
|
sehemu ya kutunza mazao
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hii ni sifa muhimu ya Mungu
|
||
|
|
||
|
# Je ninyi hamna thamani kuliko wao?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kufundisha watu. "uhakika ninyi mna thamani zaidi ya ndege."
|