forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
487 B
Markdown
16 lines
487 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha
|
||
|
|
||
|
Hapa mandhari yahamia kwenda wakati wa baadaye wakati Yohana Mbatizaji ambatiza Yesu.
|
||
|
|
||
|
# kubatizwa na Yohana
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kueleza katika namna iliyo tendaji. "hivyo Yohana aliweza kumbatiza."
|
||
|
|
||
|
# Nina hitaji kubatizwa wewe, nawe waja kwangu?
|
||
|
|
||
|
Yohana anatumia swali kuonesha kushangazwa kwake na ombi la Yesu. "Wewe ni wa maana zaidi kuliko mimi. Sipaswi kukubatiza wewe. Wewe unapaswa kunibatiza mimi."
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "sisi" humaanisha Yesu na Yohana.
|