forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
814 B
Markdown
28 lines
814 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi amnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba kuzaliwakwa Yesu kulikuwa kwa mujibu wa andiko
|
||
|
|
||
|
# Hii yote ilitokea
|
||
|
|
||
|
Malaika hazungumzi tena. Mathayo sasa anaeleza umuhimu wa kile malaika alikisema.
|
||
|
|
||
|
# kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. "kile ambacho Bwana alimwambia nabii Isaya kuandika zamani."
|
||
|
|
||
|
# Tazama...Emanueli
|
||
|
|
||
|
Hapa Mathayo anamnukuu nabii Isaya.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili huongeza msisitizo kwa kile kilicho fuata kusemwa. "Tazama" au "Sikia" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukuambia"
|
||
|
|
||
|
# Emanueli
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kiume.
|
||
|
|
||
|
# maana yake 'Mungu pamoja nasi'
|
||
|
|
||
|
Hii haimo katika kitabu cha Isaya. Mathayo anaeleza maana ya jina "Emanueli." Unaweza kulitafsiri kama sentenso iliyo peke yake. "Jina hili maana yake 'Mungu pamoja nasi.'"
|