forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
902 B
Markdown
40 lines
902 B
Markdown
|
# Ni siku ya maandalizi
|
||
|
|
||
|
"Ni siku ambayo watu wanajiandaa kwa siku ya Wayahudi kupumzika iitwayo Sabato"
|
||
|
|
||
|
# Sabato inakaribia
|
||
|
|
||
|
"Inakaribia kuwa jioni, kuanza kwa Sabato" Alfajiri hapa ni mfano kwa ajili ya mwanzo wa siku. Kwa Wayahudi, siku ilianza jioni.
|
||
|
|
||
|
# waliokuja nao kutoka Galilaya
|
||
|
|
||
|
"waliosafiri na Yesu kutoka jimbo la Galilaya"
|
||
|
|
||
|
# walimfuata baada
|
||
|
|
||
|
"walimfuata Josefu na wanaume waliokuwa pamoja naye"
|
||
|
|
||
|
# wakaona kaburi
|
||
|
|
||
|
"wanawake wakaona kaburi"
|
||
|
|
||
|
# na jinsi mwili wake ulivyolazwa
|
||
|
|
||
|
"Wanawake waliona jinsi hao wanaume walivyomlaza mwili wa Yesu ndani ya kaburi"
|
||
|
|
||
|
# walirudi
|
||
|
|
||
|
"wanawake walienda kwenye nyumba ambayo wanawake hao wanakaa"
|
||
|
|
||
|
# kuandaa manukato na marashi
|
||
|
|
||
|
"kuandaa manukato na marashi ili kuandaa Mwili wa Yesu kwa ajili ya mazishi".
|
||
|
|
||
|
# walipumzika
|
||
|
|
||
|
"wanawake wale hawakufanya kazi"
|
||
|
|
||
|
# kulingana na amri
|
||
|
|
||
|
"Kulingana na sheria za Wayahudi" au "kama sheria ya Wayahudi inavyotaka"
|