forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
841 B
Markdown
20 lines
841 B
Markdown
|
# mrusho wa jiwe
|
||
|
|
||
|
"kama umbali wa mtu kurusha jiwe." Tafsiri mbadala: "umbali mfupi" au kwa kipimo cha kukadilia kama "umbali wa mita 30"
|
||
|
|
||
|
# Baba, kama unataka
|
||
|
|
||
|
Yesu atabeba adhabu ya dhambi zote katika historia ya mwanadamu kwa adhabu ya msalabani. Anaomba kwa Baba yake akimuuliza kama kuna njia nyingine.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# niondolee kikombe hiki
|
||
|
|
||
|
Yesu anamaanisha juu ya mateso ambayo yuko karibu kuyapitia kana kwamba yalikuwa ndani ya kikombe na kwamba alikuwa anakwenda kukinywa. Tafsiri mbadala: "niondolee hiki kikombe cha mateso" au "niondolee haya mateso" au "niokoe kutoka katika kuteseka kwa namna hii."
|
||
|
|
||
|
# Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike."
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "Hata hivyo, nataka kufanya yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yako kuliko yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yangu.
|