forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
738 B
Markdown
24 lines
738 B
Markdown
|
# Kisha akawaambia
|
||
|
|
||
|
"Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake." Kwa sababu huu ni mwendelezo wa kuongea kwa Yesu kutokea kwenye mstari wa nyumba, baadhi ya lugha zisingependelea kusema "Kisha akawaambia."
|
||
|
|
||
|
# Taifa litainuka kupigana na taifa jingine
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "taifa moja litashambulia taifa jingine"
|
||
|
|
||
|
# Taifa
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha makundi ya watu ya kikabila kuliko nchi.
|
||
|
|
||
|
# Ufalme juu ya ufalme mwingine
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "Ufalme utainuka juu ya ufalme mwingine" au "majeshi kutoka ufalme mmoja utashambulia majeshi kutoka ufalme mwingine"
|
||
|
|
||
|
# njaa na tauni
|
||
|
|
||
|
"kutakuwa na njaa na tauni" au "nyakati za njaa na magonjwa yanayouwa watu wengi"
|
||
|
|
||
|
# matukio ya kutisha
|
||
|
|
||
|
"matukio yanayotisha watu" au "matukio yanayosababisha watu kuogopa sana"
|