forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu akaendelea kuongea.
|
||
|
|
||
|
# Kwa
|
||
|
|
||
|
Kilichofuata ni sababu ya Yesu kuhuzunika.
|
||
|
|
||
|
# Siku zinakuja juu yako
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kwamba wangepitia nyakati ngumu. Baadhi ya lugha hawaongelei juu ya wakati ujao. 'Katika siku zijazo mambo haya yatatokea kwako' au 'hivi karibuni utavumilia wakati mgumu.'
|
||
|
|
||
|
# Wewe
|
||
|
|
||
|
neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji.
|
||
|
|
||
|
# Boma
|
||
|
|
||
|
Boma ni ukuta unaolinda watu wasitoke nje ya mji.
|
||
|
|
||
|
# Watakuangusha chini kwenye ardhi
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa Yesu alikuwa akiongea na mji, hii inaelezea ukuta na wajenzi wa ukuta wa mji. "Wataharibu kuta zako" au "Wataharibu kuta zako."
|
||
|
|
||
|
# Na watoto wako pamoja nawe
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea watu wanaoishi kwenye mji. "na watawaua watu wa kwenye mji."
|
||
|
|
||
|
# Hawataacha jiwe moja juu ya lingine
|
||
|
|
||
|
Huu ni mfano unaoelezea namna ambavyo maadui wataharibu kabisa mji uliojengwa kwa mawe. "Hawataacha jiwe lolote kwenye eneo hilo."
|
||
|
|
||
|
# Haukulitambua hilo
|
||
|
|
||
|
"haukulijua"
|