sw_tn/luk/19/43.md

36 lines
1.0 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maelezo yanayounganisha
Yesu akaendelea kuongea.
# Kwa
Kilichofuata ni sababu ya Yesu kuhuzunika.
# Siku zinakuja juu yako
Hii inaonyesha kwamba wangepitia nyakati ngumu. Baadhi ya lugha hawaongelei juu ya wakati ujao. 'Katika siku zijazo mambo haya yatatokea kwako' au 'hivi karibuni utavumilia wakati mgumu.'
# Wewe
neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji.
# Boma
Boma ni ukuta unaolinda watu wasitoke nje ya mji.
# Watakuangusha chini kwenye ardhi
Kwa kuwa Yesu alikuwa akiongea na mji, hii inaelezea ukuta na wajenzi wa ukuta wa mji. "Wataharibu kuta zako" au "Wataharibu kuta zako."
# Na watoto wako pamoja nawe
Hii inaelezea watu wanaoishi kwenye mji. "na watawaua watu wa kwenye mji."
# Hawataacha jiwe moja juu ya lingine
Huu ni mfano unaoelezea namna ambavyo maadui wataharibu kabisa mji uliojengwa kwa mawe. "Hawataacha jiwe lolote kwenye eneo hilo."
# Haukulitambua hilo
"haukulijua"